Hapa nikiwa na Mdau wa Blog hii kushoto kwangu Sylvester Amon tukiwa mitaa ya MG Road,Bangalore.Tulikuwa tunafanya window shopping kwaajili ya world cup 2006 ghafla tukakutana na hii advertisement ya nike.
DKT. KIJAJI: USHINDI WA TUZO ZA UTALII DUNIANI NI MATUNDA YA FILAMU YA
'TANZANIA: THE ROYAL TOUR'.
-
Na Philipo Hassan – Dodoma
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ameeleza kuwa
Tanzania kuibuka mshindi wa Tuzo mbalimbali za utalii...
1 hour ago

