Hapa nikiwa na Mdau wa Blog hii kushoto kwangu Sylvester Amon tukiwa mitaa ya MG Road,Bangalore.Tulikuwa tunafanya window shopping kwaajili ya world cup 2006 ghafla tukakutana na hii advertisement ya nike.
DK.SAMIA AFUATILIWA NA WATU MARA MILIONI 164.9 WAKATI WA KAMPENI
-
*Atembea kilometa za mraba 947,403 kwa kutembea mikoa yote nchini
*Kihongosi asema CCM imeweka rekodi ya mahudhurio katika
*Kesho ndio funga kazi ik...
37 minutes ago

