Hapa nikiwa na Mdau wa Blog hii kushoto kwangu Sylvester Amon tukiwa mitaa ya MG Road,Bangalore.Tulikuwa tunafanya window shopping kwaajili ya world cup 2006 ghafla tukakutana na hii advertisement ya nike.
STEVE NYERERE: DARAJA LA JAMII NA MWANAHARAKATI WA MAENDELEO
-
Steven Waiton Mengele almaarufu kama SteveNyerere2 ni Mwenyekiti wa Taasisi
ya Mama Ongea na Mwanao na Mdau wa maendeleo katika shughuli za kijamii
ku...
3 hours ago

