Hapa nikiwa na Mdau wa Blog hii kushoto kwangu Sylvester Amon tukiwa mitaa ya MG Road,Bangalore.Tulikuwa tunafanya window shopping kwaajili ya world cup 2006 ghafla tukakutana na hii advertisement ya nike.
Meya Ahimiza Usafi Jijini Arusha
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa wito wa kuimarisha
ushirikiano kati ya Halmashauri na mawakala wa ukusanyaji wa ...
12 hours ago

